Tanzania Gnosis's podcast

Tanzania Gnosis's podcast

Neno "Gnosis" hurejelea ujuzi tunaopata kupitia uzoefu (experience) wetu wenyewe, lakini pia si sawa na ujuzi ambao tunaambiwa au kuamini. Gnosis - kwa jina lolote katika historia au utamaduni - ni maarifa, uzoefu, si ujuzi wa kiakili au dhana tu, imani, au nadharia. Neno hili ni sawa na neno la Kiebrania "Daath" na la Sanskrit "Jna."
00:00
00:00

Episodes

6-

Mti wa Ujuzi - 3. Maarifa (Ujuzi), Mema na Mabaya (Seh. 3)

17 Mar 2024
5-

Mti wa Ujuzi - 3. Maarifa (Ujuzi), Mema na Mabaya (Seh. 2)

25 Feb 2024
4-

Mti wa Ujuzi - 3. Maarifa (Ujuzi), Mema na Mabaya (Seh. 1)

18 Feb 2024
3-

Mti wa Ujuzi - 2. Maarifa (Ujuzi), Adam na Eva ndani yetu

10 Feb 2024
2-

Mti wa Ujuzi - 1. Maarifa (Ujuzi), Mlango

04 Feb 2024